KWA mara ya kwanza baada ya kutua Bongo,
Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshort
( 2014) , Idris Sultan amemfungukia mwigizaji
Elizabeth Michael ‘Lulu ’ na kudai ni rafiki yake
wa karibu .
Mshindi wa Shindano la Big Brother
Hotshots 2014, Idris Sultan.
Kabla mshindi huyo hajakanyaga Bongo , Lulu
alishambuliwa mitandaoni baada ya kujinadi
kuwa na urafiki wa karibu na Idris lakini kwa
kauli hiyo, imeonesha dhahiri wawili hao ni
marafiki wa kweli tofauti na mitazamo ya
wadau mitandaoni .
Mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu ’ .
“ Lulu ni rafiki yangu wa muda mrefu , hakuna
kingine zaidi ya urafiki . Tutaendelea kuwa
marafiki hata baada ya ushindi huu,” alisema
Idris , juzi alipokuwa kwenye mkutano wa
waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Hyatt
Regency Dar es Salaam ( The Kilimanjaro ).
Related Posts
Staa huyu wa Nollywood aeleza sababu za kwa nini hayupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa kwa sasa
Mwigizaji wa Nollywood Genevieve Nnaji amefunguka kuhusu hatma ya maisha yake ya ndoa na kueleze[...]
Wema Sepetu Amfuata Diamond Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili Hawa Wanafuatana au Wanarushana Roho? Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party. Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo; Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel. Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”. Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje. Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum- support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini. Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana au wana rohorushana
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkub[...]
MAPENZI BHANA! DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI! KUMTAMBULISHA X-MASS, AWACHAMBUA MA-EX WAKE!
Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Se[...]
AT ASHINDA KESI DHIDI YA MGANGA WA JADI ALIYEMSHITAKI KWA KUTOMLIPA PESA BAADA YA KUPANDISHA NYOTA YAKE
Muimbaji wa Mduara, AT ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili nailiyofunguliwa na mganga wa jadi k[...]
PICHAZ: UNAAMBIWA HUYU NDIYE MBUNGE MZURI KULIKO WOTE NCHINI KENYA
Anajulikana kwa jina la Naisula Lesuuda ambaye aliwahi kuwa mwandishi wa kituo cha Tv kenya cha KBC [...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment