Jumapili ya Des 7 ni siku iliyochukua headline
kwenye mitandao baada ya Davido kuwakwaza
watanzania kwa kile alichokiandika kwenye
twitter.Baada ya Mwakilishi kutokea Tanzania
Idris Sultan kutangazwa kuwa mshindi wa Big
Brother Africa Hotshots.
Mengi yamezungumzwa na watu,lakini Des 11
mshindi wa Big Brother Africa Hotshots,Idris
Sultan alipata nafasi ya kuzungumza na
vyombo vya habari mbalimbali. Miongoni mwa
maswali aliyouliza ilikuwemo ile ishu ya
Davido.
Mwandishi: Idris ukiwa kama mshindi wa BBA
unazungumziaje ujumbe wa Davido
uliowakwaza watumiaji wa mitandao?
Idris Sultan: “ Kwanza ningependa kusema
nahisi ilikuwa ni utani kwasababu mwishoni
mwa ile sentensi kumbuka kuna alama ya utani
yaani ‘Lol’ sasa nimeshangashwa kuona watu
wanaanza kuhisi vibaya kuwa ni dongo kwetu
hapana.
“Ningewataka watanzania pamoja na Davido
tusiingie kwenye migogoro isiyokuwa na msingi
sisi sote ni bado vijana tunatakiwa kujitangaza
na kupeana support hata vizazi vinavyokuja
vijifunze vitu vizuri kutoka kwetu ikiwemo
Upendo na Amani kati ya Tanzania na
Nigeria.”
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye
mkutano huo
Mshindi wa Big Brother 2014,Idris Sultan
akisisitiza jambo wakati akiongea na waandishi
wa habari (hawapo pichani) katika hoteli ya
Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam .
Idris akizungumza.
Aliyekuwa Mshiriki mwenza wa Idris
Sultan,Irene Laveda akizungumza machache
kwenye Mkutano huo.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice
Tanzania,Barbara Kambogi akizungumza jambo
wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari
jijini Dar es Salaam.
Home
»
UDAKU
»
WASANII
» MANENO YA IDRIS KUHUSU
ALICHOKIANDIKA DAVIDO BAADA YA
USHINDI WA TANZANIA BIG
BROTHER AFRICA
Related Posts
Staa huyu wa Nollywood aeleza sababu za kwa nini hayupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa kwa sasa
Mwigizaji wa Nollywood Genevieve Nnaji amefunguka kuhusu hatma ya maisha yake ya ndoa na kueleze[...]
Wema Sepetu Amfuata Diamond Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili Hawa Wanafuatana au Wanarushana Roho? Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party. Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo; Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel. Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”. Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje. Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum- support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini. Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana au wana rohorushana
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkub[...]
MASHABIKI WAMCHARUKIA ALI KIBA, NA KUMPA MAKAVU LIVE BAADA YA KUACHIA VIDEO YA MWAKA ISIYOENDANA NA MAZINGIRA ..SOMA UJUE WALICHOSEMA
Laty Side video haiendani na alichoimba yan nikupiga wimbo wa taifa disco Fad Marlon Fad Mbay hyo ja[...]
DIAMOND AONGE HAYA Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi Akizungumza kwenye kipindi cha Live Ch[...]
Muimbaji wa Nyimbo za INJILI Tanzania Florah Mbasha Aomba Talaka Mahakamani K
kazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomb[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment