Akionekana kama amesinzia kwa hisia kali mbele
ya bendi ya muziki ya B Band inayomilikiwa na
msanii mkongwe, Banana Zorro, picha hii ya
mwingizaji Irene Uwoya ilizua maswali mengi kuwa
anaonekana jama alikuwa amechapa kilaji sana na
kulewa ndio akapandisha mizuka hii au ni mapenzi
na mahaba yake na wimbo au nyimbo ambazo
zilikuwa zikipigwa na bendi hiyo.
Majibu ya maswali hayo yote anayo Uwoya
mwenye, lakini waswahili wanasema picha
inazungumza. Wewe je unamuonaje hapo??
Awali akionekana yupo sawa sawa alipiga picha
akiwa na Banana kama unavyoiona hapo juu.
Home
»
»Unlabelled
» Irene woya atoa kari ya mwaka bofya hapa kuona
Recent Posts
MASHABIKI WAMCHARUKIA ALI KIBA, NA KUMPA MAKAVU LIVE BAADA YA KUACHIA VIDEO YA MWAKA ISIYOENDANA NA MAZINGIRA ..SOMA UJUE WALICHOSEMA
Laty Side video haiendani na alichoimba yan nikupiga wimbo wa taifa disco Fad Marlon Fad Mbay hyo ja[...]
ANACHOKIFANYA HUYU JAMAA NA MFALME WA PORI SIMBA NI HATARI TUPU. BOFYA HAPA
He trusts lions enough to stick his arm in their mouth! Kevin leverages his ability to help prevent[...]
Breaknewz msanii diamond aamuwa kugombea ubunge mwaka2015
Mwanamuziki wa kizazi kipya diamond ameandika katika ukurasa wake wa facebook kuwa ameamua hay[...]
MH. PROF. ANNA TIBAIJUKA BAADA YA KUENGULIWA ARUDI JIMBONI KWAKE KUFANYA HAYA!
Wananchi mkoani kagera wamepinga uamuzi wa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho[...]
MAPENZI BHANA! DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI! KUMTAMBULISHA X-MASS, AWACHAMBUA MA-EX WAKE!
Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Se[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment