Modo wa Tanzania anayejulikana kwa jina la
Calisah ambaye amewahi kushiriki Mr.Tanzania
2013-2014 ameandika picha za kimahaba katika
picha za msanii maarufu wa filamu, Jackline
Wolper ‘Gambe’…
“Umenifanya nisitamani mwanamke yeyote
katika dunia hii. Nakupenda sana Wolper
Gambe wangu coz i get everything from you.I
love you kamdoli kangu, kichuna changu,” hayo
ndo maneno ya kimahaba aliyoyaandika na
kumtumia Wolper.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
LIKE PAGE YETU HAPO PIA SHARE STORY NA RAFIKI ZAKO

0 comments:

Post a Comment

BURUDANI

 
Top