Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini
Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa
kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa
ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika
kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama
Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.
Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond
Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana
matukio hayo kama ifuatavyo;
Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki
mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea
nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria
show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika
Serena Hotel.
Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le
Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya
Zari kama “Special Guest”.
Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama
mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine
wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile
anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje.
Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki
kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum-
support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na
kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini.
Home
»
UDAKU
»
WASANII
» Wema Sepetu Amfuata Diamond
Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili
Hawa Wanafuatana au Wanarushana
Roho?
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini
Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa
kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa
ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika
kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama
Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.
Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond
Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana
matukio hayo kama ifuatavyo;
Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki
mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea
nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria
show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika
Serena Hotel.
Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le
Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya
Zari kama “Special Guest”.
Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama
mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine
wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile
anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje.
Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki
kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum-
support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na
kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini.
Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana
au wana rohorushana
Related Posts
Staa huyu wa Nollywood aeleza sababu za kwa nini hayupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa kwa sasa
Mwigizaji wa Nollywood Genevieve Nnaji amefunguka kuhusu hatma ya maisha yake ya ndoa na kueleze[...]
MAPENZI BHANA! DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI! KUMTAMBULISHA X-MASS, AWACHAMBUA MA-EX WAKE!
Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Se[...]
AT ASHINDA KESI DHIDI YA MGANGA WA JADI ALIYEMSHITAKI KWA KUTOMLIPA PESA BAADA YA KUPANDISHA NYOTA YAKE
Muimbaji wa Mduara, AT ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili nailiyofunguliwa na mganga wa jadi k[...]
PICHAZ: UNAAMBIWA HUYU NDIYE MBUNGE MZURI KULIKO WOTE NCHINI KENYA
Anajulikana kwa jina la Naisula Lesuuda ambaye aliwahi kuwa mwandishi wa kituo cha Tv kenya cha KBC [...]
MASHABIKI WAMCHARUKIA ALI KIBA, NA KUMPA MAKAVU LIVE BAADA YA KUACHIA VIDEO YA MWAKA ISIYOENDANA NA MAZINGIRA ..SOMA UJUE WALICHOSEMA
Laty Side video haiendani na alichoimba yan nikupiga wimbo wa taifa disco Fad Marlon Fad Mbay hyo ja[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.