“Wahaya noma......
”
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni
Noumer...! likizo isiishe jamani
Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi
mtandaoni akiwa "SAMUWEA" kama
unavyoziona hapo juu. Lakini hiyo
picha ya miguu ndio iliua wengi,
kwakuitendea haki alifunguka.
“Nishawahi kusema naipenda miguu
yangu!????
,oky
naendelea kuoga hela..kuoga Maji
mwisho Dar Es Salaaam...kwa kina
Mutashobya(BUKOBA) ni kuoga Hela
tu...!oky bye” Lulu alimaliza.
Home
»
CELEBRETIES
»
WASANII
» Angalia hapa picha za lulu akila
bata huko Bukoba Ni Noumer…
Naendelea Kuoga Hela
Related Posts
DIAMOND AONGE HAYA Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi Akizungumza kwenye kipindi cha Live Ch[...]
MASHABIKI WAMCHARUKIA ALI KIBA, NA KUMPA MAKAVU LIVE BAADA YA KUACHIA VIDEO YA MWAKA ISIYOENDANA NA MAZINGIRA ..SOMA UJUE WALICHOSEMA
Laty Side video haiendani na alichoimba yan nikupiga wimbo wa taifa disco Fad Marlon Fad Mbay hyo ja[...]
Wema Sepetu Amfuata Diamond Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili Hawa Wanafuatana au Wanarushana Roho? Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party. Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo; Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel. Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”. Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje. Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum- support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini. Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana au wana rohorushana
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkub[...]
Muimbaji wa Nyimbo za INJILI Tanzania Florah Mbasha Aomba Talaka Mahakamani K
kazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomb[...]
Staa huyu wa Nollywood aeleza sababu za kwa nini hayupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa kwa sasa
Mwigizaji wa Nollywood Genevieve Nnaji amefunguka kuhusu hatma ya maisha yake ya ndoa na kueleze[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.