TAMASHA la Serengeti Fiesta 2014 usiku wa kuamkia leo limeonyesha hali ya kukubalika vilivyo kwa wakazi wa Geita baada ya uongozi wa Tamasha hilo kuamua kuwapa burudani hizo kwa mara ya kwanza na wakazi hao kuonyesha hali ya kuitikia vilivyo kwa kufurika ndani ya Ukumbi wa Desire Park mkoani humo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment