Loveness Kaaya mwanafunzi wa chuo kimoja Mkoani Dodoma.
Mwanafunzi wa chuo mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina la Lovess Kaaya ambae anasoma chuo kimoja maarufu mkoani hume ameibuka na kusema picha yake  aliyovuja kwenye mtandao kwa bahati mbaya anashangaa wa2 wanatoa macho na kusema mengi wakati Wema Sepetu nae aliwahi kupiga picha za aina kama yake lakini watu hawakusema kivile....!
CREDIT XDEEJAYZ TANZANIA
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
LIKE PAGE YETU HAPO PIA SHARE STORY NA RAFIKI ZAKO

0 comments:

Post a Comment

BURUDANI

 
Top