Laty Side video haiendani na alichoimba yan
nikupiga wimbo wa taifa disco
Fad Marlon Fad Mbay hyo jamaa kwnye video
amwachie WCB maan hyo video nkama
kuchanganya msiba na haruc mahar pamoja
dhumuni la nymbo na video tofaut
Juma Sabuni Video mbaya kiukweli na ubaya wa
video haieleweki yeye mwenyewe hajitambui
mfano kipande cha kuongea na kioo ni pumba
zaid mi nakubali audio kuliko video
Chrîss Jüniör yaan bora hata mbagala
Nurdeen Kipendo B:siikubali coz alichoimba na
kwenye video tofauti kwa staili iyo hatangojea
xna kwa dangote
Nick Mkali Wao Maudhui ya wimbo na video
tofauti....video does not refrect an audio yaani
ukiplay video afu ukazima sauti hupati picha
kamili ya kinachoonekana na hata ukiunganisha
matukio ya kwenye video bado hupati picha
kamili kama inahusu MWANA.... Kucheza cheza
barabarani na kukata viuno ndio audio
ilichokuwa ikimaanisha au ? Amepoteza pesa tu
za buree...Nibora angerudi kuektia KWAO
KIGOMA
...
Chiwamba Songa Haimaanishi Script ya nyimbo
iendane na Message 'hapana' ila kiukweli kabisa
ukiachana na huo u-team KIBA! Script ya
nyimbo yake mbovu kabisa! ila na yeye
mwenyewe ukimwangalia tu unaona kabisa
jamaa amepaniki, Location ndio imebeba video
ila sio Script! ila tatizo litakuwa ni bajeti na
Management, kwa mnaoufaham mzik mtakuwa
mmenielewa nini nazungumza. siikubali
John Wambura Kapga wimbo wa taifa
bar,alichoimba na video tofaut kabxa
LadyValentina Kabora video ilitakiwa hata
kiziwi aelewe ama inawahusu wabongo tuuu
tena ambao wanasikia. Ujumbe unatakiwa uwe
effective wengne wameachwa nyuma. Sasa
kilichobaki wengine tunawatafsiria marafiki
zetu mwanzo mwisho kila kipande cha
nyimbo... ndio nini sasa?
Emanuel Maina Kwa muonekano kwa maana
ipo clear na views nzuri,ss issue ni haiendeni na
anachoimba ,wimbo unachanganya frm thw
start ye anatembea tembea tu ,in general ni
mbovu na kauharibu wimbo
Duox Edward video ya kiba kuuza nje ni inshu
coz hakuweza kuonesha uhalisia wa wimbo na
vitendo ili hata kama mtu hajui lugha ni rahs
ktambua maudhui ya wimbo kptia
vitendoo.....xo ili kjenga mzk wa bongo lazma
akbar kbadlika na apge kchupa kikal
zaid.......sio unafk ni mtizamo tu.....cna team bt
nashabikia mziki wwte mzriii.....plz kba change
bro
Rashedi Said kiba hajuagi kutoa vidio
nzur....mnaijua YAKARIMA ...?mliona ile vdo
yani ni kituko ..mkmcfia tazidi kuaribu kila
sku ...embu angalia vdo ya rich mavoko..acheni
kimcfia mkosoeni ajifunze anawategemea nyie
mkimkosoa ndo atafanya vzur xx kama mtu
anaaribu mnmcfia ..nyimbo ya mwana inastori
nzr xna lkn vidio haina stori
Home
»
MUZIKI
»
WASANII
» MASHABIKI WAMCHARUKIA ALI KIBA, NA KUMPA
MAKAVU LIVE BAADA YA KUACHIA VIDEO YA
MWAKA ISIYOENDANA NA MAZINGIRA ..SOMA
UJUE WALICHOSEMA
Next
This is the most recent post.
Previous
ANACHOKIFANYA HUYU JAMAA NA MFALME WA PORI SIMBA NI HATARI TUPU. BOFYA HAPA
Related Posts
Wema Sepetu Amfuata Diamond Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili Hawa Wanafuatana au Wanarushana Roho? Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party. Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo; Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel. Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”. Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje. Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum- support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini. Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana au wana rohorushana
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkub[...]
DIAMOND AONGE HAYA Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi Akizungumza kwenye kipindi cha Live Ch[...]
Muimbaji wa Nyimbo za INJILI Tanzania Florah Mbasha Aomba Talaka Mahakamani K
kazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomb[...]
Staa huyu wa Nollywood aeleza sababu za kwa nini hayupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa kwa sasa
Mwigizaji wa Nollywood Genevieve Nnaji amefunguka kuhusu hatma ya maisha yake ya ndoa na kueleze[...]
Tazama Picha za Ali Kiba Yuko Afrika Kusini Anafanya Hii Video Noma sana
Kupitia kurasa yake ya Instagram msanii Ali Kiba ametufahamisha kuwa yuko South Africa mjini Cape T[...]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.